pmbet

Simba yajificha Zanzibar kuwawinda Al Ahly

Sisti Herman

March 18, 2024
Share :

Meneja wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amethibitisha kuwa kuanzia kesho klabu hiyo itaweka kambi ya siku 7 visiwani Unguja kwaajili ya kujiandaa kucheza mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ambao utacheza machi 29 jijini Dar es Salaam.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet