pmbet

Simba yajitosa kwa mshambuliaji wa Ghana

Sisti Herman

April 17, 2024
Share :

Klabu ya Simba ipo kwenye hatua nzuri ya kuinasa saini ya nyota wa klabu ya Medeama kutoka nchini Ghana , Derick Fordjour ambaye alifuatiliwa na viongozi wa Simba tangia dirisha dogo .

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari nchini Ghana zinasema kunao uwezekano mkubwa mchezaji huyo akatua Msimbazi .

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet