pmbet

Siongei na simu baada ya saa 4 usiku, sipendi kuongea usiku - Ronaldo

Eric Buyanza

July 19, 2024
Share :

Mchezaji wa Klabu ya Al Nassr, Cristiano Ronaldo ameweka wazi ratiba yake ya usiku: 

“Jambo moja muhimu, siongei na simu baada ya saa 4 usiku. Siongei na simu muda huo. Sipendi kuongea usiku kwa sababu ya ubongo wangu. Kwa hivyo, baada ya saa 4, usinipigie simu.” anasema Ronaldo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet