pmbet

Sowah, Kante kuendelea kukaa jukwaani leo wakitumikia adhabu

Sisti Herman

February 11, 2026
Share :

 

Mchezo wa leo dhidi ya KMC utakuwa wa 3 kwa wachezaji wa Simba SC, Jonathan Sowah na Alassane Kante kuendelea kuwa kupitia adhabu ya kuwa nje mechi 5 mfululizo wanazotumikia kwenye michuano ya ndani.

Hizi ni mechi walizozikosa hadi sasa;

1. Mtibwa Sugar
2. Mashujaa FC

Hizi ni mechi watakazokosa;

1. KMC FC
2. Greenland FC
3. Tanzania Prisons

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet