Star Boy wa Simba apewa 'Thank You' Msimbazi.
Joyce Shedrack
July 27, 2026
Share :
Klabu ya Simba imevunja mkataba na kiungo mshambuliaji wa Kenya Mohamed Bajaber kwa mkubaliano ya pande zote mbili baada ya kujiunga na Simba msimu uliopita akitokea klabu ya Polisi Kenya.
Simba pia imetangaza kumtoa kwa mkopo nyota wao Mtanzania Salehe Karabaka kwenda klabu ya Pamba Jiji.





