pmbet

Taifa Stars yaanza kurejea

Sisti Herman

January 28, 2024
Share :

Timu ya Taifa “Taifa Stars” imeanza safari ya kurudi Tanzania baada ya ushiriki wake kwenye mashindano ya AFCON 2023, Ivory Coast.

 

Stars imemaliza mkiani mwa kundi F lilokuwa na timu za Morocco, Zambia na DR Congo, ikiwa na alama 2 baada ya michezo mitatu, ikifungwa mchezo mmoja, sare 2.

 

Morrco na DR Congo wameendelea kwenye hatua ya mtoano.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet