pmbet

Taifa Stars yapoteza mchezo wa FIFA Series dhidi ya Liechtenstein.

Joyce Shedrack

March 26, 2026
Share :

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imepoteza mchezo wa michuano ya FIFA Series inayofanyika Nchini Rwanda kwa goli 1-0 dhidi ya  Timu ya Taifa ya Liechtenstein.


Tanzania itacheza dhidi ya Macau kutafuta nafasi ya mshindi wa tatu wakati Liechtenstein itacheza dhidi ya Aruba kumtafuta Bingwa michuano hiyo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet