Tanzania kucheza mechi za Kirafiki dhidi ya Morocco
Sisti Herman
May 19, 2025
Share :
Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itacheza michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Morocco kwenye Kalenda ya FIFA mwezi Juni.
Mechi ya Kwanza itachezwa Juni 6 na mechi ya pili itachezwa Juni 10 na mechi zote hizo zitachezwa kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi.