pmbet

Tanzania uso kwa uso na Nigeria kufuzu AFCON 2027.

Joyce Shedrack

May 19, 2026
Share :

Tanzania imepangwa kundi L kwenye michuano ya Kufuzu AFCON 2027.

Nigeria 🇳🇬
Madagascar 🇲🇬
Tanzania 🇹🇿
Guinea Bissau 🇬🇼

MATOKEO Tanzania Vs Nigeria Leo Tarehe 23 December 2025 AFCON | UDAKU  SPECIAL

Tanzania itashiriki michezo ya mchujo ya kufuzu AFCON 2027 licha ya kuwa tayari imefuzu kutokana na kuwa mwenyeji hivyo kwenye kundi L anatafutwa mshindi mmoja wa kuungana na Tanzania kushiriki michuano hiyo.


 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet