pmbet

Tanzia...! Msanii Mandojo afariki dunia

Joyce Shedrack

August 11, 2024
Share :

Msanii wa Bongofleva Mandojo amefariki dunia leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.

Msanii mwenzake aliyefanya naye kazi kwa ukaribu Domokaya na Soggdoggyanter wamethibitisha taarifa hiyo ya kifo cha Mandojo.

Kwa mujibu wa taarifa za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu mmoja ambaye alimuitia mwizi.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet