Tanzia;Nyota wa zamani wa Yanga Chico Ushindi afariki Dunia.
Joyce Shedrack
December 13, 2025
Share :
Mshambuliaji wa zamani wa TP Mazembe, As Vita Club na Yanga SC Chico Ushindi Wakubanza, amefariki leo mchana akiwa kwao Kinshasa Nchini Congo.

Vyombo vya habari vimeripoti taarifa za nyota huyo aliyekiwasha katika timu za ligi kuu DR Congo na Nje ya mipaka ya Taifa hilo.





