pmbet

Tazama Darwin Núñez wa Liverpool, akizichapa 'kavukavu' na mashabiki

Eric Buyanza

July 11, 2024
Share :

Nyota wa Liverpool Darwin Núñez ni miongoni mwa walioonekana wakiwachapa ngumi mashabiki ikiwa ni muda mchache baada ya timu yake ya taifa ya Uruguay kutandikwa na Colombia 1-0 kwenye mchezo uliochezwa alfajiri ya leo.
 

Núñez alionekana akiwakabili mashabiki hao wa Colombia baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa katika nusu fainali ya mashindano ya Copa America.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet