pmbet

TETESI ZA SOKA: Chelsea, PSG na Arsenal kwenye vita ya kumgombea Osimhen

Eric Buyanza

March 15, 2024
Share :

Chelsea wanahofia kuwa watamkosa mchezaji wa Napoli, Victor Osimhen, 25, katika uhamisho wa majira ya joto.

Wakati hayo yakiendelea, Paris St-Germain na Arsenal wanazidi kuongeza juhudi katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji huyo mahiri wa timu ya taifa ya Nigeria. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet