pmbet

TETESI ZA SOKA: Liverpool waungana na Man u/Chelsea kwenye vita ya kumgombea Neves

Eric Buyanza

April 1, 2024
Share :

Klabu ya Liverpool wameungana na Manchester United pamoja na Chelsea kwenye mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Benfica na Ureno Joao Neves

Neves kijana mdogo mwenye umri wa miaka 19 mkataba wake na Benfica una kipengele cha (kuuvunja) cha euro milioni 120.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet