pmbet

TETESI ZA SOKA: Man city iko tayari kutoa pauni milioni 120 kumnunua Jamal Masiala

Eric Buyanza

April 13, 2024
Share :

Manchester City ni mojawapo ya klabu kubwa za Ulaya zilizo kwenye mbio za kuhakikisha inafanikiwa kwa njia yoyote kumnunua mshambuliaji wa Bayern Munich ya ujerumani, Jamal Musiala.

Taarifa zinaeleza kuwa Manchester City wako tayari kutumia pauni milioni 120 kwa ajili ya kumshawishi mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet