pmbet

TETESI ZA SOKA: Napoli wanataka Euro milioni 110 kwa Osimhen, wakataa 80 za PSG

Eric Buyanza

July 22, 2024
Share :

Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) imetoa ofa ya Euro milioni 80 kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa Napoli mnigeria Victor James Osimhen. 

Hata hivyo klabu yake imegoma na kusema haitachukua pesa yoyote chini ya Euro milioni 110. 

Mpaka sasa hakuna klabu iliyokubali kutoa kitita hicho.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet