pmbet

TETESI ZA USAJILI: Newcastle wanajadili uwezekano wa kumsajili Pedro Neto wa Wolves

Eric Buyanza

March 9, 2024
Share :

Usajili Newcastle wanajadili uwezekano wa kumsajili Pedro Neto kutoka Wolves msimu huu.
 

Inaelezwa kuwa wako tayari kutoa dau la takriban £60m inayodhaniwa kuwa inatosha kumsajili winga huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 23 - ingawa Liverpool nao wameonyesha nia ya kumtaka.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet