pmbet

TFF kushirikiana na Saudia

Sisti Herman

December 21, 2023
Share :

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia mkataba wa ushirikiano na Saudia Arabia utakaogusa maeneo mbalimbali ya utawala, ufundi, timu za Taifa, waamuzi, miundo mbinu, mashindano na ligi,mpira wa miguu wa wanawake, soka la vijana, soka la ufukweni na futsal.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet