pmbet

TRC Yatangaza kurejea kwa huduma ya SGR.

Joyce Shedrack

October 23, 2025
Share :

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza rasmi kurejea kwa huduma za usafiri wa treni za SGR zilizokuwa zimesimama asubuhi ya leo kutokana na ajali iliyotokea kituo cha Ruvu kutokana na hitilafu ya kiuendeshaji.
SGR project to boost domestic connectivity, facilitate trade with  landlocked African state | The Guardian
Shirika linaomba radhi wateja wake kwa usumbufu uliojitokeza na pia linawashukuru kwa uvumilivu wao.

Huduma bora kwa wateja wetu ndiyo kipaumbele cha Shirika.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet