pmbet

Tumepata ushindi mkubwa, adui amepata pigo la kihistoria - Iran

Eric Buyanza

April 8, 2026
Share :

Serikali ya Iran na vyombo vya habari vya taifa hilo vinasema kuwa makubaliano ya kusitisha mashambulizi kwa muda ni ushindi mkubwa kwa utawala wa taifa hilo.
 

Katika taarifa iliyotolewa na Baraza Kuu la Usalama wa Taifa, Iran imesema imeafikia karibu malengo yake yote ya vita hivyo na kuwa adui wake amepata pigo la kihistoria.

 

Ikumbukwe kwamba vita hivyo vilianza na kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa taifa hilo Ali Khamenei na viongozi wengine wakuu wakijeshi na hii ilikuwa tishio kubwa kwa utawala wa Iran.

 

Iran inajiona mshindi kwa kuweza kustahimili vita vilivyoanzishwa na Israel na Marekani kwa zaidi ya siku 30.
 

BBC

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet