pmbet

"Tunamtakia kila la kheri Mbappe" - Kocha PSG

Sisti Herman

March 11, 2024
Share :

Kocha mkuu wa PSG Mhispaniola Luis Enrique amefunguka rasmi kuhusu suala la uhamisho wa mshambuliaji nyota wa timu hiyo Mfaransa Kylian Mbappe huku akithibitisha kuwa ni kweli hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao.

"Namtakia kheri Mbappe huko aendako, ni mchezaji bora lakini pia ni mtu mwenye utu, kiukweli tunamtakia kila lililo kheri" - Luis Enrique, kocha wa PSG

Mbappe anahusishwa kujiunga na Real Madrid mwishoni mwa mkataba wake na PSG.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet