pmbet

Tunapenda sana upuuzi na vitu vyepesi vyepesi - Jemedari

Eric Buyanza

May 16, 2024
Share :

Kupitia ukurasa wake wa Instagram mchambuzi wa michezo maarufu kutoka Efm, Jemedari Said, ameandika yafuatayo;
 

"Bakhresa anajifudisha namna ya kuwa tajiri kwa ‘Muuza Karanga’ wa Mbagala. 😂😂
Hii nchi tunapenda sana upuuzi na vitu vyepesi vyepesi na watu wanatupa tunavyotaka.
 

BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
 

Je, anamlenga nani?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet