UEFA, CONCACAF na AFC wakaza, Infantino atoke
Sisti Herman
August 10, 2026
Share :

Mashirikiso ya soka ya mabara ya Ulaya (UEFA), Amerika kaskazini (CONCACAF) na Asia (AFC) yameandika barua ya pamoja kushughulikia wasiwasi unaoendelea kuhusu FIFA na rais wake, Gianni Infantino.
"Uongozi katika soka si mali binafsi. Hauhusu kushikilia — au kudai kushikilia — madaraka. Ni wajibu wa kuhudumia familia ya soka iliyokabidhi dhamana hiyo."





