pmbet

Ufaransa haijawahi kupoteza mchezo, Pogba na Kante wakiwa dimbani

Sisti Herman

June 6, 2025
Share :

 

Je wajua...?! Ikiwa na viungo wa shoka Paul Pogba na Ng'olo Kante pamoja dimbani, timu ya Taifa ya Ufarnsa haijawahi kupoteza mchezo.

Pogba na Kante wakiwa dimbani, Ufaransa imecheza mechi 40 na haijawahi kufungwa.

Wawili hao ni washindi wa kombe la dunia na timu hiyo ya taifa mwaka 2018.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet