pmbet

Ukimtaka Davido kwa show, uwe na Bilioni 1.5!

Eric Buyanza

January 6, 2024
Share :

Mwanamuziki wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria, Davido amewaacha wengi wakitafakari bila kupata majibu baada ya kuweka wazi kiasi anachotoza kutumbuiza kwenye shoo yake moja.

Davido anasema sasa anatoza $600,000 kwa shoo moja (sawa na shilingi bilioni 1 na laki 5 za Tanzania).

"Yaani sasa natoza $600,000 kwa ajili ya show na nafanya shoo tatu hadi nne kwa mwezi, ambazo ni dola milioni 2 hadi 3,” alisema.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet