pmbet

Umoja wa Ulaya kuangalia upya misaada yake kama USAID

Sisti Herman

February 13, 2025
Share :

Umoja wa Ulaya utapitia upya mpango wake wa misaada ya kigeni, wenye thamani ya mabilioni ya Euro ili kuoanisha mgawanyo wa fedha hizo kwa karibu zaidi na masilahi yake ya sera za kigeni, Bloomberg imeripoti.

Hatua ya EU inakuja baada ya mipango ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kuanza utekeleza wa hatua kama hiyo, ikilenga kupitia upya au kufuta Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).

Wakati huohuo, Tume ya Ulaya inakabiliwa na changamoto za kuongezeka kwa matumizi ya ulinzi kutokana na vita vya Ukraine na tofauti za mtazamo na sera mpya za Marekani.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet