pmbet

Umtiti awavaa wanaoshinda tuzo bila timu zao kuwa na mataji

Sisti Herman

September 14, 2026
Share :

 

Aliyekuwa beki wa Ufaransa na Barcelona Samuel Umtiti amekosoa mchakato wa upigaji kura wa tuzo ya Ballon dโ€™Or na umuhimu ambao wachezaji huipa tuzo hiyo.

โ€œWanamjumuisha Juliรกn Quiรฑones, lakini alifanya nini kwenye Kombe la Dunia? Mabao manne akiwa na Mexico na kutolewa katika hatua ya 16 bora? Nilipoona hivyo, nilijiuliza kama ilikuwa ni ๐ฏ๐ข๐œ๐ก๐ž๐ค๐ž๐ฌ๐ก๐จ.โ€

โ€œKuna upendeleo mkubwa katika soka, ambalo ni mchezo wa timu. Watu wanawaza sana kuhusu ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐š ๐๐š๐ฅ๐ฅ๐จ๐ง ๐โ€™๐Ž๐ซ kuliko mafanikio ya pamoja.โ€

โ€œUnaweza kushinda Ligi ya Mabingwa na timu yako lakini ukawaza kuhusu wewe mwenyewe tu. Tuzungumzie takwimu wakati mwingine, kwa sababu hazitoshi. Soka ๐ฌ๐ข ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐š๐ฅ๐š ๐ฅ๐š ๐ญ๐š๐ค๐ฐ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฉ๐ž๐ค๐ž๐ž.โ€

โ€œTangu enzi za Messi na Ronaldo, hata siifuatilii tena tuzo hiyo. Walikuwa na takwimu za ajabu, na hata kama hawakushinda taji kubwa, haikuwa na maana kubwa kwa sababu msimu wao ulikuwa wa kipekee.โ€

โ€œSiku hizi, hakuna mchezaji mmoja mahiri anayewazidi wengine kwa kiasi kikubwa,โ€ Umtiti aliliambia shirika la RMC Sport.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet