pmbet

Unakata tamaa kizembe? Soma hii inakuhusu...!

Sisti Herman

February 12, 2024
Share :

Hii hapa safari ya matumaini ya kustaajabisha ya mshambuliaji wa timu ya Taifa Ivory Coast Sebastian Haller ndani ya miaka miwili;

 

- Julai 2022, Sébastien Haller alipatikana na saratani ya tezi dume na kuanza matibabu.

- Februari 2023, Haller alishinda saratani ya tezi dume kisha akarejea kwenye soka katika klabu ya Borussia Dortmund.

- Februari 2024, Haller alifunga bao ushindi wa Ivory Coast katika nusu fainali na kisha fainali ya AFCON!

 

Unaanzaje kukata tamaa wewe?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet