pmbet

Urusi yaichimba mkwara Marekani, yasema itatoa jibu la kijeshi

Eric Buyanza

July 11, 2024
Share :

Urusi itatoa jibu la kijeshi kwa mipango ya Marekani ya kupeleka makombora ya masafa marefu nchini Ujerumani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Ryabkov alisema Alhamisi.

"Tutajibu jambo hili kwa utulivu, Jeshi tayari limeanza kulifanyia kazi suala hili na tutatoa jibu la kijeshi kwa tishio hili jipya" Waziri Ryabkov aliwaambia waandishi wa habari.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet