pmbet

UTEUZI: Daniel Chongolo ateuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe

Eric Buyanza

March 9, 2024
Share :

UTEUZI: 
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, leo tarehe 9/3/2024 ameteuliwa na Rais Samia Sululu Hassan, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Bwana Chongolo anachukua nafasi ya Dkt. Francis K. Michael.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet