pmbet

Uuzaji wa nyama wapigwa marufuku!

Eric Buyanza

March 9, 2024
Share :

Mamlaka ya wanyama nchini Uganda imeripotiwa kupiga marufuku uuzaji wa nyama katika mji mkuu, Kampala, kama sehemu ya vikwazo vya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kimeta, unaoathiri wanyama.
 

"Usafirishaji wa ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe na bidhaa zitokanazo na nyama zao, kupitia au ndani ya Mamlaka ya Mji Mkuu wa Kampala, Wilaya ya Kampala, ni marufuku hadi itakapotangazwa tena," Wizara ya Kilimo, Sekta ya Wanyama na Uvuvi ilisema katika barua iliyotajwa na vyombo vya habari kadhaa vya ndani.

BBC

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet