pmbet

(VIDEO) Nauli mpya ya Daladala yawadatisha abiria

Eric Buyanza

December 9, 2023
Share :

Baada ya nauli mpya ya Daladala kuanza kutumika rasmi jana tarehe 8 December, kumekuwa na manung'uniko kila kona abiria wakitoa maoni kuhusu kupanda kwa nauli hizo.

PMTV ilitembelea vituo vya Daladala kuchukua maoni ya abiria. Fuatilia video hapo chini.

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet