pmbet

Vinicius kujipiga pini Real Madrid hadi mwaka 2030.

Joyce Shedrack

April 23, 2025
Share :

Taarifa kutoka Nchini Hispania zinaripoti kuwa klabu ya Real Madrid imefikia makubaliano na mshambuliaji wake raia wa Brazil Vinicius Junior juu ya kuongeza mkataba mpya wa kusalia ndani ya viunga vya Santiago Bernabeu.

It is about making history in football' - Casemiro offers Vinicius Jr  transfer advice as Real Madrid star continues to be linked with Saudi  Arabia mega-money move | Goal.com UK

Vinicius ambaye alikuwa anatolewa macho na vilabu vya Saudia Arabia anatarajia kuongeza mkataba mpya wa miaka mitatu kuitumikia Real Madrid mpaka mwa 2030.

 

Nyota huyo alikuwa anamaliza mkataba wake wa awali june mwaka 2027.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet