pmbet

Vita ya kufuzu nusu fainali ya Muungano cup nani kuibuka mbabe?.

Joyce Shedrack

April 25, 2026
Share :

Mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Michuano ya Muungano Cup unatarajiwa kupigwa leo hii kati ya Yanga na Azam Fc utapigwa siku ya leo katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar majira ya saa 2:15 usiku.
Azam FC 0-0 (4-5) Yanga SC | Highlights | NMB Mapinduzi Cup 2026 -  13/01/2026
Timu hizo ambazo hazijapoteza (unbeaten) mechi yoyote kwenye ligi mpaka sasa msimu huu zitakutana kwa mara ya tatu msimu huu baada ya kukutana kwenye Kombe la Mapinduzi 2026 ambapo Yanga ilishinda kwa penalti 5-4 kufuatia sare ndani ya dakika 120 bila kupata mshindi.

Nani atafanikiwa kufuzu fainali ya Muungano Cup siku ya leo?.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet