pmbet

Vita ya ufungaji wa magoli Ligi Kuu

Sisti Herman

February 19, 2026
Share :

 

Mpaka kufikia sasa kwenye ligi kuu Tanzania bara, hawa ndiyo vinara wa ufungaji wa magoli;

1. Fabrice Ngoy, Namungo - 7
2. Salehe Karabaka, JKT Tanzania - 6
3. Paul Peter, JKT Tanzania - 5
4. William Edger, Dodoma Jiji - 5
5. Prince Dube, Yanga - 4

Je mshambuliaji wa timu yako yupo nafasi ya ngapi?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet