pmbet

VIWANGO VYA UEFA KWA VILABU 2023: Man City, Real Madrid juuu, Man Utd, Chelsea zikishuka

Eric Buyanza

December 26, 2023
Share :

Manchester City kwa sasa inaongoza katika viwango vya UEFA kuelekea mwaka 2024.

Kikosi cha Pep Guardiola kiko mbele ya Real Madrid na Bayern Munich, ambazo ziko kwenye tatu bora.


Hii ni list ya timu hizo:

1 Man City (ENG) 141.000

2 (=) Bayern (GER) 136.000

3 (+3) Real Madrid (ESP) 123.000

4 (+1) Paris Saint-Germain (FRA) 108.00

5 (-2) Liverpool (ENG) 107.00

6 Inter (ITA) 99.000

7 Leipzig (GER) 96.000

8 (-4) Chelsea (ENG) 96.000

9 (-1) Man United (ENG) 92.000

10 Roma (ITA) 91.000

11 Dortmund (GER) 85.000

12 Barcelona (ESP) 85.000

13 Atletico Madrid (ESP) 84.000

14 Sevilla (ESP) 84.000

15 Villarreal (ESP) 80.000

16 Juventus (ITA) 80.000

17 Napoli (ITA) 79.000

18 Leverkusen (GER) 78.000

19 Porto (POR) 75.000

20 Benfica (POR) 72.000

21 Arsenal (ENG) 68.000

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet