pmbet

Waarabu wamwaga kuwakutania AJ na Francis

Sisti Herman

January 7, 2024
Share :

Rasmi sasa pambano la bondia wa uzito wa juu wa kiingereza Anthony Joshua na bingwa wa zamani wa MMA aliyegeukia kwenye masumbwi  Francis Nganou limethibitika kuwepo kupigwa tarehe 9 ya mwezi machi mjini Riyadh, nchini Saudi Arabia.


Hili litakuwa ni pambano la pili kwa Francis Nganou tangu alipoamua kuingia kwenye ngumi za kulipwa akitoka kwenye Sanaa ya mapigano mchanganyika (MMA). Pambano lake la kwanza lilikuwa ni DHIDI ya Tyson Fury ambapo ulishangaza uliwengu kwa kiwango Bora Sana.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet