pmbet

Wakazi anaongeaga vitu vya msingi - Fid Q

Eric Buyanza

December 5, 2023
Share :

Msanii Farid Kubanda, Fid Q amempa maua yake msanii mwenzake wa Hiphop, Wakazi, akisema msanii huyo amekuwa Balozi mzuri kwenye sanaa kwasababu anapigania sana haki kwenye sanaa.
 

FID Q anasema Wakazi siku zote kunapotokea kupambania haki kwenye tasnia ya muziki huwa huwa anaongea 'vitu vya msingi'.

 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet