pmbet

Waliomzushia kifo Dk Mpango kushughulikiwa - Nape

Eric Buyanza

December 11, 2023
Share :

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknoloiia ya Habari, Nape Nnauye.
 

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape amesema..."Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa! "

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet