pmbet

Washika mitutu wauawa kwa mtutu nyumbani kwao.

Joyce Shedrack

April 11, 2026
Share :

Matumaini ya ubingwa ya Arsenal yamepata pigo baada ya kupoteza mechi ya nyumbani kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth, jambo lililofungua nafasi kwa Manchester City kupunguza pengo kileleni.
Arsenal FC vs Bournemouth LIVE: Premier League latest score, match stream,  goal updates and fan reaction | The Standard
Washika Mitutu wanasalia kileleni alama 70 baada ya mechi 32, alama 9 mbele ya Manchester City waliopo nafasi ya pili wakiwa wamecheza michezo 30.

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet