pmbet

Waziri Mkuu afutwa kazi baada ya wiki moja

Eric Buyanza

December 21, 2023
Share :

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco amemfuta kazi Waziri Mkuu, Geraldo Martins wiki moja baada ya kumteua katika nafasi hiyo.

Hata hivyo sababu za kutenguliwa hazikuwekwa wazi, Martins aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu Desemba 12 huu.
 

Katika taarifa ya utumbuaji na uteuzi iliyosomwa kwenye vyombo vya habari, Rais Sissoco alimteua Rui Duarte de Barros kama Waziri Mkuu mpya.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet