pmbet

Wenger hajaniandika kwasababu hajanifunga - Mourinho

Sisti Herman

January 7, 2024
Share :

Kocha mtata zaidi Jose Mourinho aliyewahi kuwa kocha wa Chelsea, Madrid na Man Utd alipoulizwa kwenye moja kati ya mahojiano kuhusu kwanini kwanini hajaandikwa kwenye kitabu cha maisha ya Arsene Wenger, Majibu yake yalikua hivi

 

"Kwasababu hajawahi kunifunga. Huwezi kuandika kurasa za kuelezea mechi 12 au 14 ambazo zote umefungwa, sasa kwanini aniandike kwenye kitabu chake?"

 

"Kitabu ni kitu cha kukisoma na kukifurahia na kujifanya ujivunie kwahiyo ninaelewa hali anayopitia."

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet