pmbet

Winga Stars atambulishwa Simba

Sisti Herman

January 17, 2024
Share :

Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Edwin Balua kwa Mkataba wa miaka mitatu akitokea Tanzania Prisons.

 

 Balua (23) ambaye alikuwa kwenye kikosi cha awali cha Stars kwenda AFCON anatumia zaidi mguu wa kushoto anaweza kucheza winga zote pia kucheza namba nane.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet