pmbet

Yanga, Azam waungana na wababe wengine robo fainali CRDB Bank FC

Sisti Herman

April 11, 2024
Share :

Baada ya ushindi wa jana dhidi ya Dodoma Jiji, klabu ya Yanga imejiunga na timu zingine 7 kukamilisha timu 8 zilizofuzu robo fainali ya kombe la shirikisho la TFF linalodhaminiwa na CRDB Bank na kujulikana kama CRDB FC .

Timu zilizofuzu robo faibali CRDB Bank FC;

Namungo
Geita Gold
Tabora UTD
Coastal Union
Ihefu
Azam FC
Mashujaa
Yanga SC

Droo ya robo fainali iitachezeshwa hivi karibuni.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet