pmbet

Yanga dhidi ya KMC leo Ligi Kuu

Sisti Herman

November 9, 2025
Share :

 

Klabu ya Yanga itacheza na KMC FC leo Jumapili Novemba 9, 2025 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni kwenye uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

Msimamo wa ligi na Fomu ya timu zote:

Yanga SC kwa sasa ipo nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi.
KMC FC iko nafasi ya 16.

Katika mechi zao tano zilizopita za mfululizo, Yanga imeshinda zote, huku KMC ikipoteza mara 4 na kushinda mara 1.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet