pmbet

Yanga kuanza na Tabora leo kembe la Shirikisho

Sisti Herman

May 1, 2024
Share :

Robo Fainali ya kombe la shirikisho la TFF linalodhaminiwa na CRDB Bank itaanza kutimua vumbi ambapo klabu ya Yanga itawakaribisha Tabora United kwenye dimba la Azam Complex Chamazi kuanzia saa 2 na nusu usiku.

Michezo mingine inayotarajiwa kufanyika leo ni;

Ihefu vs Mashujaa
Coastal Union vs Geita Gold

Je wananchi watatoka kwa warina asali wa Tabora?

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet