pmbet

Yanga wapoteza kwa Ahly ugenini

Sisti Herman

March 1, 2024
Share :

Klabu ya Yanga imepoteza mchezo wake wa rau di ya 6 ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika kundi D dhidi ya Al Ahly kwa 1-0, bao lililofungwa na Hussein El Shehat dakika ya 46 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Cairo International Stadium, Cairo Misri.


Msimamo wa kundi D

 

Al Ahly alama 12
Yanga alama 08
CR Belouizdad alama 08
Medeama alama 04

 

Yanga na Al Ahly wamefuzu hatua ya mtoano.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet