pmbet

Yanga washusha chuma kingine kutoka Mashujaa FC

Sisti Herman

July 21, 2026
Share :

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi aliyekuwa beki wa kati wa Mashujaa FC, Mohamed Musa kuwa mchezaji wao mpya.
 


Beki huyo ambaye pia anakipiga katika timu ya Taifa ya Zanzibar anakuwa mchezaji wa tatu kutambulishwa na Yanga kutoka Mashujaa baada ya Hussein Mihambo na Abdulnassir Assa 'Gamal'

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet