pmbet

Yoane Wissa azaawadiwa nyumba baada ya kuwafunga kina Ronaldo.

Joyce Shedrack

June 19, 2026
Share :

Mshambuliaji wa DR Congo Yoane Wissa amezawadiwa nyumba ya vyumba vitatu vya kulala katika Jiji la Kinshasa baada ya kufunga dhidi ya Ureno kwenye michuano ya Kombe la Dunia.

 Yoane Wissa, Congo's leading goalscorer in the World Cup

DR Congo waliandika historia wakati Wissa alipofunga bao lao la kwanza kabisa katika Kombe la Dunia dhidi ya Ureno na kifanya DR Congo ifanikiwe kuvuna alama moja dhidi ya Ureno.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet