pmbet

Yusuph Manji afariki Dunia

Sisti Herman

June 30, 2024
Share :

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga na Mkurugenzi wa Makampuni ya Quality Group Limited na mfanyabiashara maarufu nchini Yussuph Manji amefariki dunia nchini Marekani alipokuwa akiendelea kwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet